Katibu mkuu Wizara ya Fedha, Dotto James alisema tofauti na kipindi cha kwanza msisitizo wa kipindi cha pili ni kuimarisha uwezo wa walengwa kufanya kazi kwa kuwezesha kaya masikini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |