Mkutano huo umewaleta pamoja vijana 10,000 kutoka sehemu mbalimbali Afrika.
Kaulimbiu ya mkutano huo ni : "Kuipiga jeki Afrika ndogo yenye bidii".
Ufunguzi rasmi wa mkutano huo ulishirikisha wazungumzaji ikiwa ni pamoja wajasiriamali watajika,wanariadha wa kimataifa na washauri wa vijana.
Miuongoni wa waliozungumza ni pamoja na Afisa Mkuu Mtendaji wa Mara Group,Asish Takkar.
Mara Group ni kampuni ya kwanza kutengeneza simu za kileo au simu janja kote barani Afrika.
Kiwanda ambacho kinapatikana katika eneo la kiuchumi la Kigali,kilifunguliwa jumatatu na Rais Paul Kagame na kitakuwa na uwezo wa kutengeneza simu milioni 1 kwa mwaka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |