Kaulimbiu ya mwkaa huu ni "huduma za kijamii,kuufikia ulimwengu".
Maadhimisho hayo ambayo yalifaa yafunguliwe jana,badala yake yalifunguliwa leo na Kaimu Mrajis Mkuu wa Vyama vya Ushirika nchini Tanzania ,Tito Haule.
Vyama hivyo pamoja na mambo mengine vilitafakari na kushirikishana namna bora ya kufanikisha azma ya utoaji wa huduma bora na jumuishi za kifedha kwa watanzania.
Maadhimisho hayo kwa Tanzania yametangulia kufanyika ili kutoa fursa kwa Saccos za Tanzania kuungana na Saccos nyingine za Afrika katika maadhimisho yatakayofanyika Mombasa,Kenya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |