• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Zimbabwe : Zimbabwe yalenga kuongeza uzalishaji wa almasi

    (GMT+08:00) 2019-10-15 16:55:15
    Zimbabwe inalenga kuzalisha karati milioni 11 za madini ya almasi ifikapo mwaka 2023 kutoka kiwango cha sasa cha karati milioni 3.2.

    Waziri wa madini nchini humo Winston Chitando amesema juhudi hizo zitafanikishwa na kampuni nne zikiwemo Alrosa na kampuni ya China ya Anjin.

    Waziri Chitando pia amesema nchi hiyo inapania kuvutia wawekezaji zaidi kwenye sekta ya madini ili kukuza uchumi wake, kufungua nafasi za ajira na kuongezea mapato ya kigeni.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako