Mlote alisema ujio wa mashine hizo utarahisisha wananchi wa Kilimanjaro kunywa kiwango sahihi cha maziwa ambacho ni lita 200 kwa mwaka kwa mtu.
Alieleza imani yake hiyo wakati wa mahojiano na vyombo vya habari kuhusu teknolojia mpya mashine za ATM za maziwa ambazo zimewekwa katika wilaya za Hai na Manispaa ya Moshi.
Alisema kwa sasa Mtanzania anakunywa lita 49 za maziwa kwa mwaka, wakati anatakiwa kunywa lita 200.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |