• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kampuni za pombe zaonya dhidi ya kupandisha bei

    (GMT+08:00) 2019-10-23 19:53:20
    Watengenezaji wa pombe nchini Kenya wamewataka wenye vilabu kuuza bidhaa hizo kwa bei iliopendekezwa kwani bado ushuru mpya uliopendekezwa haujaanza kutekelezwa.

    Chama cha vinywaji nchini humo kimesema tayari wauzaji wa reja reja wa pombe wamepandish bei hata kabla ya sheria mpya kuanza.

    Wabunge nchini humo wamependekeza ushuru wa kati ya asilimia 19 na 20 lakini bado rais Uhuru Kenyatta hajasaini mswada huo.

    Hata hivyo chama cha watengenezaji wa bidhaa hiyo wameonya kuwa kuongezwa kwa ushuru huenda kukapelekea waraibu kuanza kunywa pombe haramu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako