• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rwanda na Russia zakubaliana kuanza kituo cha kawi ya nyuklia

    (GMT+08:00) 2019-10-23 19:53:38
    Baraza la Mawaziri la Rwanda limepitisha makubaliano na Urusi ya kuendeleza matumizi ya nishati ya nyuklia kwa "madhumuni ya amani," hatua ambayo inatarajiwa kuongeza uhusiano kati ya nchi hizo mbili.

    Kupitishwa kwa makubaliano hayo kunafanyika mbele ya Mkutano wa kwanza wa Urusi-Afrika wiki ijayo katika mji wa Sochi, ambao Rais Paul Kagame amethibitisha kuhudhuria.

    Mpango huo wa nguvu ya nyuklia ulitiwa saini mara ya kwanza huko Moscow mnamo Desemba mwaka jana na sehemu ya yaliomo ni wanasayansi wa Urusi kufungua Kituo cha Sayansi na Teknolojia ya Nyuklia mjini Kigali.

    Russsia pia imetia saini makubaliano ya ushirikiano kama huo na Kenya, Uganda na Tanzania.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako