Akizungumza katika hafla ya kusaini makubaliano hayo,Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo nchini Tanzania,Japhet Justine,alisema lengo la makubaliano ni kukuza sekta ya kilimo nchini humo pamoja na kuwawezesha vijana ,wanawake,na wajasiriamali wadogo kupatikana kwa utoshelevu wa chakula nchini humo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |