URA imekuwa mstari wa mbele kukabiliana na wafanyibiashara walaghai. Ni hivi juzi tu ambapo URA ilifunga baadhi ya biashara jijini Kampala kwa kile kilichotajwa kuwa ukwepaji wa kulipa ushuru. Mwaka wa 2007, shirika la kuthibiti ubora wa wa bidhaa nchini Uganda lilinasa makatoni 50 ya mafuta aina ya Gatex ambayo hayakuwa yenye ubora stahiki, katika eneo la Mbale.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |