Kupita uzinduzi huu, Bara la Afrika limejianda kufurahia matunda baada ya kua jumuiya kubwa ya kiuchumi duniani ambapo wanachama wa nchi watauza bidhaa zao na bidhaa barani Afrika.
Bara la zaidi ya watu bilioni 1.2 na milioni 450 kati yao ni vijana wa kuajiriwa wenye umri wa kati ya miaka 15 na 35 (AfDB, 2018), kuunda fursa ni muhimu kwa viongozi wa nchi.
Kupitia jumuiya kubwa ya kiuchumi duniani malighafi ya Kiafrika yatasindikwa nyumbani na kuuzwa mahali pengine kama bidhaa za kumaliza badala ya nchi za Afrika kununu kutoka nchi zengine duniani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |