Msemaji wa jeshi la Israel amesema kupitia taarifa kuwa, jeshi la Israel IDF na ndege ya jeshi hilo zilishambulia vituo viwili vya Kundi la Hamas kwenye Ukanda wa Gaza. Taarifa hiyo iliongeza kuwa hii ni hatua ya kulipiza kisasi kwa wapiganaji wa Palestina huko Gaza kurusha roketi kwenye sehemu ya kaskazini ya Ukanda wa Gaza.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |