Kulingana na taarifa ya robo ya tatu ya fedha, imeonesha ukuaji mzuri wa benki hiyo wa asilimia 367 baada ya ushuru ikilinganishwa na mwaka jana.
Maneja mkuu wa benki hiyo, Theobald Sabi amesema utendaji mzuri wakazi kwa benki hiyo ulichangiwa na kuboreka kwa mikopo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |