• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya yaagiza nafaka zaidi

    (GMT+08:00) 2019-11-05 20:26:10
    Thamani ya nafaka zilizopitia bandari ya Mombasa iliongezeka katika kipindi kilichokamilika Juni 2019 hado shilingi bilioni 175.

    Taakwimu kutoka kwa serikali zinaonesha nafaka kama vile mahindi, mchele, maharage na soya za thamani ya bilioni 371 zilipitia kwenye bandari hyiyo.

    Shirika la kibiashara la Kenya KenTrade limesema ongezeko hilo ni ishara ya kupungua kwa uzalishaji wa ndani.

    Shirika la umoja wa mtaifa la kilimo na chakula FAO lilikuwa limeonya kuwa huenda kukatokea baa la njaa kanda ya Afrika Mashariki kutokana na kuchelewa kwa mvua.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako