Misri, Ethiopia na Sudan zimekubaliana kutatua migongano kati yao kuhusu ujenzi wa Bwawa la GERD katika mto Blue Nile mwezi Januari mwaka kesho. Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi hizo wamekutana na waziri wa fedha wa Marekani na mkuu wa Benki ya Dunia jana huko Washington, na kukubaliana kwamba watashirikiana kufikia makubaliano ifikapo tarehe 15 Januari mwaka kesho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |