• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya inatoa uraia katika kushinikiza uwekezaji

    (GMT+08:00) 2019-11-08 19:23:54
    Kenya inafikiria kupatia uraia wawekezaji matajiri katika harakati mpya kuongeza uwekezaji wa wakigeni wa moja kwa moja (FDI), shirika la kukuza uwekezaji wa nchi imesema.

    Wawekezaji wenye thamani kubwa, ambao biashara zao zimeonekana kuwa na athari kubwa juu ya kazi mpya na mapato ya mauzo ya nje, wataruhusiwa kuomba Uraia, chini ya mapendekezo mapya.

    Sheria za uhamiaji kwa sasa zinahitaji mgeni kuendelea kuishi nchini kwa angalau miaka saba kufuzu uraia kwa usajili.

    Mamlaka ya Uwekezaji ya Kenya (KenInvest) imesema mpango huo ni kuwapa zawadi wawekezaji hao na makazi ya kudumu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako