Wawekezaji wenye thamani kubwa, ambao biashara zao zimeonekana kuwa na athari kubwa juu ya kazi mpya na mapato ya mauzo ya nje, wataruhusiwa kuomba Uraia, chini ya mapendekezo mapya.
Sheria za uhamiaji kwa sasa zinahitaji mgeni kuendelea kuishi nchini kwa angalau miaka saba kufuzu uraia kwa usajili.
Mamlaka ya Uwekezaji ya Kenya (KenInvest) imesema mpango huo ni kuwapa zawadi wawekezaji hao na makazi ya kudumu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |