Ofisa mwandamizi wa Shirika la wanawake la Umoja wa Mataifa lililoshughulikia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake, linashirikiana na serikali ya Tanzania kupambana na dhuluma ya kijinsia.
Naibu waziri wa afya, maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto wa Tanzania Bw. Faustine Ndugulile, amesema tangu ushirikiano kati ya pande hizo mbili uanze kutekelezwa, kesi za dhuluma ya kijinsia zimepungua kwa kiwango kikubwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |