Waasi wa Houthi wa Yemen wamesema wamekamata meli moja ya Saudi Arabia na nyingine mbili katika bahari ya Yemen, maili tatu kutoka Kisiwa cha Uqban kwenye Bahari Nyekundu. Televisheni ya al-Masirah ya Houthi imeripoti kuwa meli hizo zimehamishwa kwenye bandari ya Salif kwa ajili ya kuchukuliwa hatua za kisheria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |