Bw. Mamabolo ameihimiza serikali ya Sudan na makundi mbalimbali nchini humo, kushirikiana na Umoja wa Mataifa na mashirika mengine ya kimataifa kuwaruhusu na kuwaunga mkono wafanyakazi wa misaada kufika kwenye maeneo ya mbali ikiwemo Darfur, ili kuhakikisha misaada ya kibinadamu inatolewa kwa wakati na kwa ufanisi..
Bw. Mamabolo pia amesema UNAMID itaendelea kuunga mkono mchakato wa amani kati ya serikali ya Sudan na makundi mbalimbali ya Darfur.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |