Manowari ya jeshi la China Weifang imewasili kwenye bandari ya Cape Town, Afrika Kusini kwa ajili ya kushiriki kwenye luteka ya pamoja ya kijeshi baharini kati ya nchi tatu za China, Russia na Afrika Kusini.
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa majeshi ya majini ya nchi hizo tatu kufanya mazoezi ya pamoja kwenye maeneo ya bahari Kusini mwa Afrika. Manowari na meli sita kutoka nchi hizo tatu zitashiriki kwenye mazoezi hayo yanayotarajiwa kuanza rasmi leo Novemba 25.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |