Chama cha Biashara na Viwanda cha Kenya (KNCCI) kitafungua ofisi ya biashara katika Falme za Kiarabu.
Rais wa Chama hicho Richard Ngatia amesema kitasaini makubaliano na vyama mbalimbali kote duniani.
Tayari Ngatia amesema UAE imekipa chama hicjho ofisini ya ukubwa wa futi 5,000 za mraba.
Ofisi hiyo itasaidia biashara ndogo na za wasatani kufanya ubia na zile za milki za kiarabu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |