Wamesema kuna haja makundi ya vijana katika nchi zao kutumia vivutio hivyo kama njia ya kuhamasisha umoja wa Afrika na ushirikiano katika nyanja muhimu za maendeleo ikiwamo fursa ya utalii.
Wakizungumza baada ya safari ya siku sita ya kuelekea kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, wajumbe watatu kutoka nchi za Uganda, Tz na Zimbabwe, walisema lichaya mlima huo kuwa katika orodha ya maajabu saba duniani, na kuwa mlima mrefu kupita yote barani Afrika, bado vijana wengi hawajautembelea.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |