Kwa mujibu wa mkuu wa wilaya ya Longido, Frank Mwaisumbe, serikali imekuwa ikikosa mapato hayo kwa kipindi cha miaka mingi kutokana na mifugo ha, kwenda kuuzwa Kenya kupitia mpaka wa Namanga.
Hata hivyo, aliongeza kwa kusema kwamba, hadi kufikia mwaka jana, serikali imefanikiwa kuthibiti uuzwaji wa mifugo nje ya nchi ili kuokoa fedhazilizokuwa zikipotea.
Mkuu huyo wa wiliya aliongeza kuwa kwa wakati fulaniilibidi serikali kutaifisha mifugo waliokamatwa kutoka kwa wafanyibiashara waliokuwa wakiuzwa kwa njia za magendo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |