Mfumo huo unatarajiwa kupunguza taratibu za kufanya malipo kwa wanaohifadhi fedha zao ikiwa benki itafungwa.
Mnamo Desemba 4, Mfuko wa Ulinzi wa Amana ulielezea kwamba mtu yeyote ambaye ana akaunti zaidi ya moja katika benki tofauti anapaswa kusahisha maelezo yote ya akaunti yao kwa ili benki moja ikifungwa, hazina hiyo inaweza kutumia akaunti zao zingine kulipa pesa zao.
Aidha hazina hiyo inashauri watu kusahisha nambari zao za simu kwenye benki zao kwa sababu pia hazina hiyo itatumia simu kufanya malipo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |