Ripoti iliyotolewa na mkutano mkuu wa 19 wa Chama cha Kikomunisti cha China CPC inasema, ajira ni jambo muhimu zaidi ya maisha ya watu, kwa kuzingatia hilo, mkutano wa kazi za kiuchumi wa Kamati Kuu ya CPC uliofungwa leo umesema, mwakani, China itadumisha hali ya jumla ya ajira, kuboresha muundo wa ajira, kuongeza sifa ya ajira na kuwasaidia watu maskini kupata ajira. Aidha, China itahimiza mageuzi na kufungua mlango katika sekta ya huduma za jamii haswa matibabu na utunzaji wazee.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |