Mkutano mkuu wa mwaka wa kazi za kiuchumi wa China uliomalizika leo umesema, msingi wa uchumi wa kuendelea kukua kwa utulivu na kwa muda mrefu haujabadilika.
Maendeleo mazuri yamepatikana kwenye sekta za uchumi na jamii nchini China mwaka huu, kazi zinazolenga kuondoa umasikini kwa usahihi zimepata mafanikio mazuri, hatari za mambo ya kifedha zimedhibitiwa kwa ufanisi, hali ya mazingira ya asili imeboreshwa, na mageuzi na ufunguaji mlango vimepiga hatua muhimu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |