• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Mfuko wa Fedha wa Kimataifa IMF imepitisha mkopo wa sh bilioni 37 kuelekea nchini DR Congo

    (GMT+08:00) 2019-12-17 21:09:49
    Mfuko wa Fedha wa Kimataifa umesema wamekubaliana kituo cha mkopo kukopesha $ millioni 368.4 (karibu Sh37.4 bilioni) kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ili kuwezesha mamlaka yake kukidhi mahitaji yao ya dharura.

    Mazingira ya kiuchumi bado ni magumu Mfuko wa Fedha wa Kimataifa IMF imesema katika taarifa yake.

    Hata hivyo ukuaji halisi wa Pato la Taifa unakadiriwa kushuka kwa asilimia 4.5 mwaka 2019 kutoka asilimia 5.8 mnamo 2018 ... Hifadhi za kimataifa zimepungua kwa kiwango cha chini.

    Rais Felix Tshisekedi, ambaye alichukua madaraka mnamo Januari mwaka huu, ameapa kutekeleza mageuzi ya kufagia na kumaliza rushwa katika nchi maskini lakini yenye utajiri wa madini ya Afrika ya kati.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako