Mazingira ya kiuchumi bado ni magumu Mfuko wa Fedha wa Kimataifa IMF imesema katika taarifa yake.
Hata hivyo ukuaji halisi wa Pato la Taifa unakadiriwa kushuka kwa asilimia 4.5 mwaka 2019 kutoka asilimia 5.8 mnamo 2018 ... Hifadhi za kimataifa zimepungua kwa kiwango cha chini.
Rais Felix Tshisekedi, ambaye alichukua madaraka mnamo Januari mwaka huu, ameapa kutekeleza mageuzi ya kufagia na kumaliza rushwa katika nchi maskini lakini yenye utajiri wa madini ya Afrika ya kati.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |