• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Mfumuko wa bei unaongezeka kote Afrika Mashariki

    (GMT+08:00) 2019-12-17 21:10:05
    Wanunuzi katika mkoa wa Afrika Mashariki watalazimika kulipa zaidi kwa bidhaa wanazo nunua kwa asjiliya matumizi yao binafsi, kwenye msimu wa likizo, kutokana na kuongezeka kwa gharama ya maisha.

    Nchini Tanzania, mfumuko wa bei uliongezeka na kufikia asilimia 3.8 mnamo Novemba, kutoka asilimia 3.6 mnamo Oktoba data kutoka kwa Ofisi ya Kitaifa ya Takwimu.

    NBS ilidokeza hii kuongezeka kwa bei ya vyakula ikiwamo mchele, unga wa mihogo, nyama, maharagwe na mboga, na bidhaa zisizo za chakula.

    Nchini Kenya, mfumko wa bei ulisimamia kwa asilimia 5.56 mnamo Novemba, kutoka asilimia 4.95 mnamo Oktoba, kwa sababu ya kuongezeka kwa gharama ya lishe ya chakula, Ofisi ya Takwimu ya Kitaifa ya Kenya imesema.

    Nchini Uganda, mfumuko wa bei wa mwaka uliomalizika Novemba 2019 uliongezeka kwa asilimia tatu kutoka asilimia 2,5 kwa mwaka uliomalizika Oktoba 2019.

    Ofisi ya Takwimu ya Uganda ilithibitisha kuongezeka kwa mfumko wa bei wa kila mwaka hadi asilimia 2.9 kutoka 2.6 asilimia kwa kipindi hicho hicho.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako