Aliwaambia waandishi wa habari, katika Ikulu ya Republican kuwa kilimo kinawakilisha nchi kwa njia ya kipekee ya kutoka kwa mzozo wa sasa wa uchumi.
Aidha amesema kuna vitisho vya kiuchumi ambavyo lazima vishughulikiwe, kama vile ukosefu wa ajira na biashara haramu, katika mipaka.
Jaber amesema kuwa serikali inaendelea kusaidia bidhaa za muhimu kama vile ngano, mafuta, na dawa za kuokoa maisha licha ya gharama kubwa ya bidhaa hizi ulimwenguni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |