• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Shilingi ya imeshuka kwa asilimia  4  Baada ya Uchaguzi wa Tory kushinda.

    (GMT+08:00) 2019-12-18 19:39:45
    Shilingi ya Tanzania imepungua kwa asilimia 3.6 dhidi ya pauni tangu mwanzoni mwamwezi huu, kutokana na kuathirika zaidi baada ya Conservative kushinda uchaguzi mkuu wa Uingereza wiki iliyopita.

    Shilingi ilifungua mwezi huo kwa sh 2,965 / 17 lakini pauni ilishuka hadi 3,074 / 53 jana, kulingana na data ya benki kuu.

    Tanzania inaweza kuhisi athari za uchaguzi katika vituo vya kubadilisha fedha za kigeni, ambapo pauni iliendelea kupanda dhidi ya shilingi baada ya matokeo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako