Ripoti hiyo, iliyotolewa wiki iliyopita, ilisema kwamba Tanzania iliandikisha ukuaji endelevu wa uchumi na kupunguza umasikini katika muongo mmoja uliopita.
Benki ya Dunia imesema kwamba ilithibitisha kwamba serikali imepunguza umaskini kwa asilimia 34.4 mwaka 2007, asilimia 28.2 mnamo 2012, na asilimia 26.4 zaidi mwaka 2018.
Benki ya Dunia inasema kwamba kuna dalili zinazoibuka za mabadiliko ya muhimu katika uchumi ambayo inaweza kuonekana katika kuongezeka kwa sehemu za biashara na huduma katika ajira kwa jumla.
Sekta ya Kilimo inaajiri wafanyikazi wachache, na wale wanaobaki kwenye sekta hiyo wanajiajiri.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |