Akiongea kwenye Uwanja wa Nyayo jijini Nairobi wakati wa maadhimisho ya Siku ya Jamhuri wiki iliyopita, Rais Kenyatta alisema serikali itachukua mambo muhimu ambayo yanazuia uwezo wa biashara zetu; haswa kuhusu ushuru na usimamizi wa ushuru, kupunguza au inapowezekana kuondoa ada au malipo yanayotozwa na wakala wa serikali pamoja na sekta ya kibinafsi.
Aliahidi urasimu mdogo na kurahisisha zaidi michakato katika biashara, ufikiaji wa mkopo na kurahisisha ulinzi wa wateja.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |