Stempu za kidijitali zimepokelewa ulimwenguni kote kwa kupunguza kudanganya kwa ushuru kupitia kuweka wazi oparesheni zote na pia kukomesha utengenezaji na uingizaji wa bidhaa bandia katika masoko.
Kamishna wa mapato ya ndani ya TRA, Abdul Mapembe, alielezea kwamba ushuru ulirekodi ongezeko la asilimia 35 sawa na ongezeko la sh bn 9.130bn / - katika ushuru na VAT wakati wa miezi ya Julai hadi Septemba 2018.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |