Gatsinzi amesema miradi 8,868 ya wananchi wenye uhitaji ilipewa zaidi ya mkopo wa Rwf bilioni 1 kwa asilimia 2 ya riba.
Pendekezo hilo lilikuja kwenye Mazungumzo ya 16 ya Kitaifa (Umushyikirano) mnamo Desemba 2018 wakati iliamuliwa kuwa kila kitu lazima kifanyike ili kupunguza hali ya kukopesha kwa Wanyarwanda wasio jiweza kipato.
Kwa jumla, zaidi ya mikopo Rwf bilioni 11.2 inatarajiwa kutolewa kwa watu masikini zaidi katika mwaka huu wa fedha, ambao utamalizika Juni 30, 2020.
Kiwango cha riba cha asilimia 11 haikuwa changamoto tu kwa wakopesha , lakini pia inaweza kuwakatisha tamaa kuomba ombi la mikopo hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |