Museveni amesema bei ya chini ya mazao ya kilimo, haswa maziwa ni changamoto za muda na aliwataka wakulima kutokata tamaa.
Museveni amesema watu wengi wamekumbatia kilimo cha maziwa na biashara.
Na amewataka wakulima kuendelea na uzalishaji wa ziada, kwa kuwa itatimiwa na masoko ya ndani na nje.
Bei ya mlango ya lita moja ya maziwa katika sehemu nyingi za Kiruhura imekuwa Shs 300 katika miezi mitano iliyopita tofauti na mwaka mmoja na nusu nyuma, ambapo ilikuwa kati ya Sh1,000 na Sh1,500 kwa lita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |