Shirika la habari la serikali Suna linaripoti kuwa makubaliano hayo, yaliyotiwa mjini Khartoum, yanasema kwamba Sudan Kusini italipa dola 26 kwa kila pipa la mafuta linalopita kwenye bomba la Sudan,.
Kupitia mpango huo, Sudani Kusini itasafirisha mapipa 28,000 kupitia Khartoum kila siku.
Akiongea wakati wa hafla ya utiaji saini, waziri wa petroli wa Sudan Kusini Daniel Awou Chuang alisema makubaliano hayo yanafaidi nchi zote mbili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |