Mjumbe wa China ambaye pia ni waziri wa mambo ya nje Bw. Wang Yi atafanya ziara katika nchi za Misri, Djibouti, Eritrea, Burundi na Zimbabwe kuanzia Januari 7 hadi 13.
Katika ziara hiyo, Wang Yi atakutana na viongozi wa nchi hizo na kujadiliana nao masuala mbalimbali ya pande mbili na yanayofuatiliwa kwa pamoja.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |