• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Mjumbe wa taifa wa China kufanya ziara nchini tano za Afrika

    (GMT+08:00) 2020-01-02 19:41:17

    Mjumbe wa China ambaye pia ni waziri wa mambo ya nje Bw. Wang Yi atafanya ziara katika nchi za Misri, Djibouti, Eritrea, Burundi na Zimbabwe kuanzia Januari 7 hadi 13.

    Katika ziara hiyo, Wang Yi atakutana na viongozi wa nchi hizo na kujadiliana nao masuala mbalimbali ya pande mbili na yanayofuatiliwa kwa pamoja.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako