wataalam wanatabiri mwaka mgumu ambao unaweza kurudisha nyuma au kusisitiza maendeleo ya sasa.
Katika kiwango cha kimataifa, Mfuko wa Fedha Duniani (IMF), tayari umeonya kwamba kutakuwa na biashara kidogo na ukuaji wa polepole mnamo 2020 kwa sababu ya mvutano wa kibiashara kati ya Amerika na Uchina.
Mvutano huo unaweza kutatiza uchumi nchi kadhaa kama vile Uganda na utaathiri matarajio ambayo yanaweza kuwa pamoja na kupungua au kusitishwa kwa ukuaji wa Pato la Taifa.
Ndani ya nchi, kulingana na Benki ya Uganda, kunaweza kuwa na usumbufu wa kiuchumi kutoka kwa shinikizo za uchaguzi wa 2021.
Kwa hivyo, Benki Kuu tayari imeonyesha itaweka sera ya fedha ya tahadhari ili kuzuia athari kama hizo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |