Alisema mwaka wa 1980 Serikali ya Zanzibar iliondokana na mfumo wa kuhodhi biashara na badala yake kujikita katika usimamizi wa sera na sheria ili kutoa fursa kwa wadau wa sekta hiyo kufanya shughuli hizo kwa upana.
Rais aliwapongeza na kuwatambua wafanyibiashara wakiwamo wale wanaofanya vyema shughuli zao kwa uadilifu na kurejesha faida kwa jamii.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |