Rais huyo mstaafu aliongeza kwa kusema kwamba kuimarisha shughuli za kibenki kwa kutumia njia za kiteknolojia kutawarahisishaia wateja kupata huduma kwa haraka. Alisisitiza kuwa hatua ya serikali kujenga matawi mbalimbali ya huduma za kibenki , itasaidia kuepusha msongamano wa wateja na kuwarahisishia wateja kupata huduma zao kwa haraka na kwa wakati unaofaa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |