Kulingana na data iliyotolewa jana na shirika la kitaifa la Takwimu fumuko wa bei ulipanda hadi asilimia 5.82 mwezi Desemba mwaka uliopita, kutoka asilimia 5.56 mwezi Novemba mwaka uo huo.
Wakenya waliotumia pesa nyingi wakati wa sherehe za krismasi na mwaka mpya, watalazimika kujinyima zaidi haswa shule zinapofunguliwa juma lijalo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |