Waziri wa mambo ya nje wa Ukraine Bw. Vadym Prystaiko amethibitisha kuwa, wengi wa waliofariki kwenye ajali ya ndege ya Ukraine iliyotokea huko Tehran, ni raia wa Iran na Canada, na waukraine 11 wakiwa wafanyakazi 9 wa ndege na abiria wawili. Bw. Prystaiko amesema kupitia Twitter kuwa, wairan 82 na wacanada 63 walikuwa kwenye ndege hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |