• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tanzania: Pesa ya Simu imeimarisha Ushirikiano wa kifedha nchini Tanzania

    (GMT+08:00) 2020-01-13 20:06:32

    Utumaji wa fedha kupitia simu za mkononi imekuwa moja ya hoja kuu za maendeleo ya uchumi kote nchini Tanzania.

    Ushahidi unaonyesha kuwa faida zinazohusiana na pesa za rununu zinachangia mabadiliko ya kidijitali ya nchi na kusaidia kufikia malengo yake ya maendeleo ya 2025.

    pesa za rununu imeboresha kiwango cha ujumuishaji wa kifedha nchini.

    Pesa ya rununu imewapa watu na wafanyabiashara njia bora na ya na kuwekeza pesa zao, na pia upatikanaji wa huduma mbali mbali za kifedha, pamoja na malipo ya kidijitali.

    Pesa ya rununu pia imesaidia wafanyibiashara wa dongo (SMEs) nchini Tanzania na fursa ya kukua.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako