Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari Waziri wa Jimbo Teka Gebreyesus amesema kuwa utekelezaji wa ushuru wa usafirishaji wa bidhaa za ngozi zilizomalizika umeathiri vibaya Sekta hiyo.
Wakati huohuo Teka alibaini kuwa kodi iliyowekwa katika sekta hiyo ilikuwa kubwa na kusema ndio sababu kuu ya kuanguka kwa sekta hiyo, serikali sasa imeamua kuondoa ushuru kwa bidhaa za ngozi .
Rais wa chama cha ngozi Ethiopia Berhanu Abate ,amelibaini kuwa ingawa ngozi inapendwa zaidi ushuru ulionekana kuwa hatari kwa utendaji kazi wa sekta hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |