• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rais wa Iran azihimiza nchi za kikanda kuvifukuza vikosi vya Marekani

    (GMT+08:00) 2020-01-15 11:11:09

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema nchi za kanda ya Mashariki ya Kati zinapaswa kuvifukuza vikosi vya jeshi la Marekani kutoka kwenye kanda hiyo.

    Rais huyo ameyasema hayo alipokutana na waziri mkuu wa Syria Bw. Imad Khamis ambaye yupo ziarani nchini Iran. Amesema nchi za kanda hiyo zinapaswa kujitahidi kumaliza uwepo wa vikosi vya Marekani, na kuwafukuza wakaliaji kutoka kanda hiyo.

    Bw. Khamis amesema uwepo wa vikosi vya Marekani nchini Syria ni mfano mzuri wa ukaliaji, na nchi za kanda hiyo zinapaswa kujitokeza kupinga uwepo haramu wa vikosi vya Marekani katika kanda hiyo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako