Wengi wao walisema pindi watakapofanya mazungumzo na pande husika wanaweza kutatua hali hiyo haraka iwezekana. Wakati huo huo hofu ya njaa imezuka katika eneo la kati nchini Kenya kufuatia wasiwasi kwamba nzige wanaoenea Kenya huenda wakaharibu mazao ya mahindi, mpunga, majani chai na kahawa. Tayari nzige hao wamevamia mashamba ya katika baadhi ya maeneo nchini Kenya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |