Sudan Kusini imeondoa wasiwasi kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa Ebola katika eneo la Mapel la jimbo la Wau, kakskazini magharibi mwa nchi hiyo. Wizara ya afya ya nchi hiyo na Shirika la Afya Duniani WHO wametoa taarifa ya pamoja ikisema, wamemaliza uchunguzi kuhusu tahadhari ya ugonjwa usiojukukana na kuhakikisha kuwa hakuna mgonjwa wa Ebola.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |