Kwa mujibu wa ripoti ya gazeti la Tehran Times, naibu kamanda wa makao makuu ya jeshi la Iran Bw. Ali Abdollahi amesema, uwezekano wa uingiliaji wa kielekroniki kutoka Marekani dhidi ya mtandao wa Rada wa Iran unaweza kusababisha mwendeshaji wa rada kuichukulia kimakosa ndege ya abiria ya Ukraine kama kombora la Marekani. Ameongeza kuwa jeshi hilo limeunda kikundi cha kuchunguza uwezekano huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |