Hafla ya maadhimisho ya miaka 70 tangu kuanzishwa kwa uhusiano wa kibalozi kati ya China na Myanmar imefanyika jana usiku mjini Naypyitaw, mji mkuu wa Myanmar, ambapo rais Xi Jinping wa China na mwenzake wa Myanmar Win Myint, mshauri mkuu wa serikali ya Myanmar Bibi Aung San Suu Kyi wameihudhuria hafla hiyo, huku wakifungua mwaka wa utamaduni na utalii wa China na Myanmar.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |