Miili 11 ya raia ya Ukraine waliokufa katika tukio la ndege ya abiria ya Ukraine imesafirishwa hadi Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Boryspil huko mjini Kyiv, ambapo rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine, na waziri mkuu Bw. Oleksiy Honcharuk, na maofisa wa shirika la ndege la Ukraine na familia za wafiwa wamepokea miili hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |