• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Nyota wa PSG awasilisha ombi la uhamisho

    (GMT+08:00) 2020-01-20 19:15:32

    Mkurugenzi wa klabu ya Paris Saint-German, Leonardo, amesema nyota wa timu ya Edinson Cavani amesema anataka kuhama timu hiyo na kwenda Atletico Madrid. Amesema PSG haitaki mchazaji wao huyo ambaye amefunga mabao mengi kuondoka, lakini wanapaswa kumsikiliza kwa kuwa wana heshimu maamuzi yake. Cavani amefunga mabao 198 akiwa na timu ya PSG, lakini amepoteza nafasi yake kutokana na kusajiliwa kwa Mauro Icardi kwa mkopo akitokea Inter Milan.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako